Mke wa Rais wa Zanzibar pia Mwenyekiti wa Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora Foundation Mhe.Mama Mariam Mwinyi (katikati) akishiriki katika matembezi ya Kilomita tano yaliyotayarishwa na Taasisi ya Smile for Community Chini ya Mkurugenzi Mtendaji Ndg,Flora Njelekela (wa tatu kushoto) pamoja na Viongozi mbali mbali na wananchi kuanzia Ngome Konge,Mlandege hadi Viwanja vya Maisara Jijini Zanzibar.Waziri wa Habari,Vijana ,Utamaduni na Michezo Mhe.Tabia Maulid Mwita akizungumza na wanamichezo kwa niaba ya Mke wa Rais wa Zanzibar pia Mwenyekiti wa Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora Foundation Mhe.Mama Mariam Mwinyi baada ya kumalizika kwa matembezi kilomita tano,mbio Kilomita tano na kumi yaliyotayarishwa na Taasisi ya Smile for Community kuanzia Ngome Konge,Mlandege hadi Viwanja vya Maisara Jijini Zanzibar.
Your Ad Spot
Dec 3, 2022
MAMA MARIAM MWINYI AMEZINDUA MBIO KILOMITA 5,10 NA KUSHIRIKI MATEMBEZI
Tags
featured#
Zanzibar#
Share This
About CCM Blog
Zanzibar
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
Tupia Comments👇