Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Philip Isdori Mpango, leo Jumapili tarehe 04 Septemba alifika msibani Chukwani Unguja kumpa pole Rais wa awamu ya pili wa Tanzania Mzee Ali Hassan Mwinyi aliyefiwa na mwanawe Hassan hivi karibuni ambaye ni kaka wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi.
Your Ad Spot
Sep 4, 2022
Home
Feutured
Zanzibar
MAKAMU WA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA AFIKA NYUMBANI KWA RAIS MSTAAFU AWAMU YA PILI WA TANZANIA KUMPA POLE
MAKAMU WA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA AFIKA NYUMBANI KWA RAIS MSTAAFU AWAMU YA PILI WA TANZANIA KUMPA POLE
Tags
Feutured#
Zanzibar#
Share This
About Author CCM Blog
Zanzibar
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇