LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Aug 31, 2022

ZOEZI LA UCHANGIAJI DAMU JKCI LAFANA WADAU WAOMBA LIWE ZOEZI ENDELEVU

  Zoezi la kuchangia damu kwa ajili ya watoto wanaofanyiwa upasuaji wa moyo katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) likiendelea. (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA).


 Afisa Uuguzi kutoka Mpango wa Taifa wa Damu Salama (NBTS) John Juma  akimkabidhi  fomu ya  taarifa ya mchangia damu mkuu wa  Idara ya Uuguzi  wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwette (JKCI)  Salma Wibonela wakati wa zoezi la kuchangia damu kwa ajili ya watoto wanaofanyiwa upasuaji wa moyo katika Taasisi hiyo iliyopo jijini Dar es Salaam.

  Afisa Uuguzi kutoka Mpango wa Taifa wa Damu Salama (NBTS) John Juma  akimpima wingi wa damu Msaidizi wa Afya Daraja la Pili. Sikudhani Simbeye wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakati wa zoezi la kuchangia damu kwa ajili ya watoto wanaofanyiwa upasuaji wa moyo katika Taasisi hiyo iliyopo jijini Dar es Salaam.

Mtoa huduma huyo aliweza kusema kwa kuiomba Jamiii kuzidi kuwa na Utamaduni wa kujitolea kuchangia Damu kwani damu hutapata mahalipengine kama hatutachangia au Watanzani  hawajachangia na hatuwezi kupata damu ya ng'ombe, damu ya samaki nilazima tupate damu ya mtu tuokoe maisha ya mtu, ukichangia damu unakuwa umefanya kitu kizuri na umetoa Sadaka nzuri na jambo hili linatakiwa kufanywa mara kwa mara kwa kumalizia napenda kuiishukuru na kuipongeza Serikali inayoongozwa na Rais Samia kwa sababa vitu naona vinaendelea na huduma zinazidi kuimarika naomba wazidi kuendelea zaidi kuboresha maatimamu ya Afya.  

Wafanyakazi  wa  Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) pamoja na ndugu wa wagonjwa wakichangia damu kwa ajili ya watoto wanaofanyiwa upasuaji wa moyo katika Taasisi hiyo iliyopo jijini Dar es Salaam
Wafanyakazi  wa  Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakichangia  damu kwa ajili ya watoto wanaofanyiwa upasuaji wa moyo katika Taasisi hiyo iliyopo jijini Dar es Salaam.
Wafanyakazi  wa  Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakichangia  damu kwa ajili ya watoto wanaofanyiwa upasuaji wa moyo katika Taasisi hiyo iliyopo jijini Dar es Salaam.
Wafanyakazi  wa  Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakichangia  damu kwa ajili ya watoto wanaofanyiwa upasuaji wa moyo katika Taasisi hiyo iliyopo jijini Dar es Salaam.
Afisa Uuguzi kutoka Mpango wa Taifa wa Damu Salama (NBTS) John Juma  akimpima wingi wa damu Mkurugenzi wa Tiba Shirikishi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI)  Dkt. Delila Kimambo wakati zoezi la kuchangia damu kwa ajili ya watoto wanaofanyiwa upasuaji wa moyo katika Taasisi hiyo iliyopo jijini Dar es Salaam.

Wafanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakiongozwa na Prof. Mohamed Janabi kuchangia damu kwa ajili ya watoto wanaofanyiwa upasuaji wa moyo katika Taasisi hiyo.

Wafanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakiongozwa na Prof. Mohamed Janabi kuchangia damu kwa ajili ya watoto wanaofanyiwa upasuaji wa moyo katika Taasisi hiyo.

Afisa Uuguzi kutoka Mpango wa Taifa wa Damu Salama (NBTS) Salma Jumanne akimtoa damu Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Prof. Mohamed Janabi wakati wa zoezi lililofanyika leo la uchangiaji damu kwa ajili ya watoto wanaofanyiwa upasuaji wa moyo katika Taasisi hiyo.


No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages