Zikiwa imebaki siku moja kufikia like jambo letu la KITAIFA, yaani SENSA ya Watu na Makazi linalotarajiwa kufanyika nchini more Agosti 23, 2022, Katibu Mtendaji wa Baraza la Ushauri la Watumiaji Huduma za Usafiri wa Anga. TCAA-CCC, Bwana Innocent Kyara yeye yuko tayari kuhesabiwa na kutoa wito kwa wanajumuiya wote wa Baraza na Watanzania kwa ujumla kushiriki katika zoezi hilo muhimu kwa maslahi mapana ya Taifa.
Your Ad Spot
Aug 22, 2022
Home
featured
Kitaifa
SENSA YA WATU NA MAKAZI: KATIBU MTENDAJI BARAZA LA USHAURI WATUMIAJI HUDUMA ZA USAFIRI WA ANGA TCAA-CCC YUKO TAYARI KUHESABIWA
SENSA YA WATU NA MAKAZI: KATIBU MTENDAJI BARAZA LA USHAURI WATUMIAJI HUDUMA ZA USAFIRI WA ANGA TCAA-CCC YUKO TAYARI KUHESABIWA
Tags
featured#
Kitaifa#
Share This
About Bashir Nkoromo
Kitaifa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇