Baadhi ya wateja wakihudumiwa na Leila Jumanne wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA) katika banda la mamlaka hiyo kwenye viwanja vya Maonesho ya Nane Nane, Nzuguni, Dodoma.
PICHA NA RICHARD MWAIKENDA
Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA), Edwin Mwijage akielezea jinsi mamlaka hiyo ilivyojipanga kuwahudumia wateja wao katika Banda lao lililopo katika Maonesho ya Kilimo Nane Nane Kanda ya Kati Nzuguni Dodoma, ambapo amewakaribisha wananchi kwenda kwenye banda hilo kuhudumiwa.....
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDAMHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM
0754264203
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇