Mtakwimu Mkuu wa Serikali, Dkt Albina Chuwa akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari jijini Dodoma Julai 28, 2022 kuhusu kuanza kwa mafunzo kwa makarani wa sensa wa maudhui na tehema 205,000 Julai 31, 2022.
Baadhi ya maafisa wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) na wanahabari wakiwa katika mkutano huo.
PICHA NA RICHARD MWAIKENDA
Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Dkt Chuwa akielezea kuhusu mafunzo hayo....
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM
0754264203
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇