Baadhi ya viongozi wa Kijiji cha Chiwondo, wilayani Chamwino, Dodoma wakitambulishwa wakati wa mkutano wa kijiji ambao umepitisha majina ya kamati itakayokuwa inatambua mipaka wakati wa mchakato wa kupanga mpango mji na urasimishaji ardhi ya wananchi wa eneo hilo unaoratibiwa na Mpango wa Kurasimisha Raisilimali na Biashara za Wanyonge Tanzania (MKURABITA) kwa kushirikiana na Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino.
Viongozi wapya wa Kamati hiyo na Baraza la Ardhi la Kijiji hicho wakipatiwa maelekezo na maafisa wa Halmashauri ya wilaya hiyo ikiwemo majukumu yao wakati wa urasimishaji ardhi na jinsi ya kutatua migogoro ya ardhi kijijini hapo.
Mwenyekiti wa Kijiji cha Chiwondo, akifungua mkutano huo wa kijiji.
PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA
Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, yakifanyika mafundisho hayo...
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM
0754264203
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇