JIMBO LA MUSOMA VIJIJINI - UZINDUZI WA KAMPENI YA KUHAMASISHA SENSA YA WATU NA MAKAZI
Jana, Jumamosi, 30.7.2022, Kamati ya Sensa
ya Halmashauri yetu ikiongozwa na Mwenyekiti wake, Mhe DC Khalifan Haule, ilizindua Kampeni hiyo.
ya Halmashauri yetu ikiongozwa na Mwenyekiti wake, Mhe DC Khalifan Haule, ilizindua Kampeni hiyo.
Uzinduzi ulifanyika kwenye Kijiji cha Busekera, Kata ya Bukumi.
Vikundi vya Uhamasishazi na Burudani vilikuwa vifuatavyo:
*Kwaya ya Bugoji
*Kwaya ya Kiriba
Ngoma za Asili zilikuwa:
*Lirandi Bugwema
*Kiwanjuki Kiriba
*Mbegete Nyakatende
*Mtelezo Dance Show Nyakatende
Tafadhali sikiliza TAARIFA ya HABARI ns baadhi ya Vikundi vyetu vya UHAMASISHAJI - viambatanisho vilivyoko hapa.
Kampeni hiyo imeanza jana (30.7.2022) na itahitimishwa tarehe 22.8.2022
LENGO KUU:
100% ya Wakazi na Wageni wa Vijiji vyote 68 vya Jimbo letu wahesabiwe tarehe 23.8.2022
Ofisi ya Mbunge
Jimbo la Musoma Vijijini
www.musomavijijini.or.tz
Tarehe:
Jumamosi, 31.7.2022
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇