Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA), Adam Fimbo akizungumza na waandishi wa habari kuhusu utekelezaji wa shughuli za Taasisi hiyo na vipaumbele kwa Mwaka wa Fedha 2022/2023 leo Julai 29, 2022 kwenye Ukumbi wa Idara ya Habari-MAELEZO jijini Dodoma, ambapo pamoja na mambo mengine ameelezea utoaji wa vibali 15,000 vya uingizaji wa dawa nchini.
PICHA NA RICHARD MWAIKENDA
Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Fimbo akielezea uwepo wa viwanda hivyo pamoja na mambo mengine....
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM
0754264203
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇