Mbunge wa Jimbo la Chalinze ambaye pia ni Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Ridhiwani Kikwete akipokea msaada toka Taasisi ya #DorisMollel ambayo imechangia vifaa tiba vyenye thamani ya Shilingi Milioni 12 kwa hispitali ya Wilaya Chalinze kusaidia watoto wachanga wenye shida ya kupumua. Kwa niaba ya Wana-Chalinze , tunawashukuru sana. #KaziInaendelea #SSH
Your Ad Spot
Jul 30, 2022
TAASISI YA DORIS MOLLEL YAMKABIDHI RIDHIWANI KIKWETE MSAADA WA VIFAA TIBA
Tags
Afya#
featured#
Share This
About Author CCM Blog
featured
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇