LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Jul 23, 2022

SAMAKI WAMEPUNGUA SANA ZIWA VICTORIA, SULUHISHO NI UVUVI WA VIZIMBA

 


WAVUVI wa Jimbo la Musoma Vijijini wanaendelea KUUNDA VIKUNDI vya UVUVI ikiwa ni njia mojawapo ya kuboresha upatikanaji wa NYENZO za UVUVI kwa kutumia MIKOPO au UFADHILI mwingine utakaopatikana.


VYAMA vya USHIRIKA vya WAVUVI vilivyokwishasajiliwa na Halmashauri yetu (Musoma DC) ni:


1. Kome Fisheries Cooperative Ltd

2. Kasoma Fisheries Cooperative Ltd

3. Bwaikumsoma Fisheries Cooperative Ltd

4. Busumi Fisheries Cooperative Ltd

5. Kurukiri Fisheries Cooperative Ltd


VIKUNDI vinavyokamilisha usajili ni kutoka:


6. Kijiji cha Busamba - Kikundi cha Kurwera


VIKUNDI vingine vinavyokamilisha usajili viko kwenye Visiwa vyetu vya:


7. Kisiwa cha Rukuba

8. Kisiwa cha Kagongo

9. Kisiwa cha Muloba

10. Kisiwa cha Nyasaungu


BAJETI ya Mwaka 2022/2023 imeweka mkazo kwenye UVUVI wa VIZIMBA (CAGE FISH FARMING). 


WAVUVI wa MUSOMA VIJIJINI wako tayari kuanza uvuvi wa vizimba (cage fish farming).


*Usisahau kutembelea TOVUTI ya Jimbo letu ambayo ni:

www.musomavijijini.or.tz


Ofisi ya Mbunge

Jimbo la Musoma Vijijini

www.musomavijijini.or.tz


Tarehe:

Ijumaa, 22.7.2022

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages