Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA), Aron Joseph akielezea katika mkutano na waandishi wa habari jijini Dodoma leo Julai 25, 2022 kuhusu utekelezaji wa miradi mbalimbali katika mkoa huo ambao ni Makao Makuu ya Nchi. Sehemu ya waandishi wa habari wakiwa katika mkutano huo uluiofanyika kwenye ukumbi wa Idara ya Habari MAELEZO, jijini Dodoma.
Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Aron akielezea kuhusu utekelezaji wa miradi hiyo, huku Mkurugenzi wa Idara ya Habari MAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa akielezea utekelezaji wa miradi ya maji kitaifa ....
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM
0754264203
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇