"Hapa Misri kuna soko kubwa la korosho na bidhaa za viungo ambalo bado hatujalitumia vizuri, hali ambayo imesababisha Watanzania wengi kutapeliwa na Kampuni zisiotambulika.
Rai yangu, Watanzania wazitumie zaidi Ofisi za Balozi, sisi tupo kuwatumikia wao kwenye hili ni wajibu wetu na tunalipwa mshahara kwa ajili ya hili". amesema Balozi Dk. Nchimbi.
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇