Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, akiwa katika mazungumzo na Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Equity Dk. James Mwangi aliyeambatana na Ujumbe wake Ikulu Jijini Dar es Salaam, leo
Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Equity Dk. James Mwangi akimshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, baada ya mazungumzo yao, Ikulu Jijini Dar es Salaam, leo.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, akiwa katika picha ya Kumbukumbu na Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Equity Dk. James Mwangi pamoja na Ujumbe alioambatana nao Mkurugenzi huyo, Ikulu Jijini Dar es Salaam, leo. Picha zote na Ikulu
Your Ad Spot
Apr 12, 2022
Home
featured
Kitaifa
RAIS SAMIA AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA MKURUGENZI MKUU WA BENKI YA EQUITY, IKULU JIJINI DAR ES SALAAM, LEO
RAIS SAMIA AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA MKURUGENZI MKUU WA BENKI YA EQUITY, IKULU JIJINI DAR ES SALAAM, LEO
Tags
featured#
Kitaifa#
Share This
About CCM Blog
Kitaifa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot



No comments:
Post a Comment
Tupia Comments👇