LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Apr 6, 2022

MOTO WALETA TAHARUKI KWA WANANCHI MAENEO YA KIGAMBONI

Wakazi waishio jirani na matanki ya mafuta ya TAZAMA walipatwa na taharuki baada ya kutokea moto ulitokea maeneo ya Mnadani Kigamboni kwenye shimo la mafuta machafu ikidaiwa wafanyakazi wakiwa na Boss wao mwenye Asili ya Kichina wakichenjua na kuweka katika mashine hiyo ya kuchenjulia mara zikatoka cheche za moto kuanza kukimbia na moto kuwaka kwa kasi. Kwa juhudi kubwa kwa Jesshi la Zimamoto na Uokoaji, Polisi na kushirikiana kwa nguvu kubwa na Diwani Zacharia Mkundi (pichani hayup). kwa kutafuta Greda kwa lengo la kuvuta magari yalioyokuwa na maji kushindwa kufika eneo la tukio na hatimae moto huo ulidhibitiwa (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA).



Wananchi wakisaidiana kulisukuma  gari lilishindwa kufika eneo la tukio kutokana na eneo hilo.
Moto ukiwaka 
Wananchi wakisaidiana kulisukuma  gari lilishindwa kufika eneo la tukio kutokana na eneo hilo
Mstahiki Meya Manispaa ya Tungi na Diwani Kata ya Tungi Ernest Ndamo akizungumza 



No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages