LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Apr 2, 2022

GARI LAGONGA MTU NA KUMUUA MDAULA, PWANI



Polisi wakishughulikia kuuchukua mwili wa mtu mmoja ambaye ambaye inaahofiwa amefariki dunia baada ya kugongwa na gari katika eneo la Mdaula, mkoa wa Pwani, leo. Gari lililohusika na ajali hiyo, halikusimama baada ya tukio hilo na mtu huyo aliyefariki bado hajatambuliwa. (Picha na Bashir Nkoromo)

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages