LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Mar 26, 2022

SHAKA KATIKA KONGAMANO LA UVCCM SENETI YA VYUO NA VYUO VIKUU MWANZA LA KUMPONGEZA RAIS SAMIA

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi, Sahaka Hamdu Shaka akizungumza alipokuwa mgeni rasmi katika ya kongamano la kumpongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutimiza mwaka mmoja kwa mafanikio madarakani, lililoandaliwa na Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Seneti ya Vyuo na Vyuo Vikuu, jijini Mwanza.
  Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi, Sahaka Hamdu Shaka akiwasili katika ukumbi wa Rock City Mall jijini Mwanza kwa ajili ya kongamano la kumpongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutimiza mwaka mmoja kwa mafanikio madarakani, lililoandaliwa na Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Seneti ya Vyuo na Vyuo Vikuu, lililofanyika jijini Mwanza, jana.
Wana CCM wakifuatilia kongamano la kumpongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutimiza mwaka mmoja kwa mafanikio madarakani, lililoandaliwa na Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Seneti ya Vyuo na Vyuo Vikuu, lililofanyika jijini Mwanza, jana. Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi, Sahaka Hamdu Shaka alikuwa mgeni rasmi katika kongamano hilo.
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi, Sahaka Hamdu Shaka akiwasili katika ukumbi wa Rock City Mall jijini Mwanza kwa ajili ya kongamano la kumpongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutimiza mwaka mmoja kwa mafanikio madarakani, lililoandaliwa na Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Seneti ya Vyuo na Vyuo Vikuu, lililofanyika jijini Mwanza, jana.
Wana CCM wakifuatilia kongamano la kumpongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutimiza mwaka mmoja kwa mafanikio madarakani, lililoandaliwa na Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Seneti ya Vyuo na Vyuo Vikuu, lililofanyika jijini Mwanza, jana. Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi, Sahaka Hamdu Shaka alikuwa mgeni rasmi katika kongamano hilo.
Wana CCM wakifuatilia kongamano la kumpongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutimiza mwaka mmoja kwa mafanikio madarakani, lililoandaliwa na Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Seneti ya Vyuo na Vyuo Vikuu, lililofanyika jijini Mwanza, jana. Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi, Sahaka Hamdu Shaka alikuwa mgeni rasmi katika kongamano hilo.
Vijana wakifurahia wakati wakifuatilia kongamano la kumpongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutimiza mwaka mmoja kwa mafanikio madarakani, lililoandaliwa na Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Seneti ya Vyuo na Vyuo Vikuu, lililofanyika jijini Mwanza, jana. Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi, Sahaka Hamdu Shaka alikuwa mgeni rasmi katika kongamano hilo.
Vijana wakifurahia wakati wakifuatilia kongamano la kumpongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutimiza mwaka mmoja kwa mafanikio madarakani, lililoandaliwa na Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Seneti ya Vyuo na Vyuo Vikuu, lililofanyika jijini Mwanza, jana. Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi, Sahaka Hamdu Shaka alikuwa mgeni rasmi katika kongamano hilo.
Vijana wakifurahia wakati wakifuatilia kongamano la kumpongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutimiza mwaka mmoja kwa mafanikio madarakani, lililoandaliwa na Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Seneti ya Vyuo na Vyuo Vikuu, lililofanyika jijini Mwanza, jana. Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi, Sahaka Hamdu Shaka alikuwa mgeni rasmi katika kongamano hilo.
Mwalimu Cezalia Mdwima, Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha  St. Augustine University of Tanzania (SAUT), akitoa Mada katika kongamano la kumpongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutimiza mwaka mmoja kwa mafanikio madarakani, lililoandaliwa na Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Seneti ya Vyuo na Vyuo Vikuu, jijini Mwanza, jana. Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi, Sahaka Hamdu Shaka alikuwa mgeni rasmi katika kongamano hilo
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhandisi Robert Gabrilel akizungumza wakati wa kongamano la kumpongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutimiza mwaka mmoja kwa mafanikio madarakani, lililoandaliwa na Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Seneti ya Vyuo na Vyuo Vikuu, jijini Mwanza, jana. Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi, Sahaka Hamdu Shaka alikuwa mgeni rasmi katika kongamano hilo.
Dk. Suleiman Haji akitoa Mada katika kongamano la kumpongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutimiza mwaka mmoja kwa mafanikio madarakani, lililoandaliwa na Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Seneti ya Vyuo na Vyuo Vikuu, lililofanyika jijini Mwanza, jana. Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi, Sahaka Hamdu Shaka alikuwa mgeni rasmi katika kongamano hilo. (Picha zote na Fahad Siraji wa CCM).

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages