LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Mar 27, 2022

NAIBU WAZIRI KUNDO: WATUMISHI NI TASWIRA YA WIZARA, TEKELEZENI MIRADI KWA WAKATI NA UADILIFU+video



Naibu Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhandisi Kundo Mathew amewataka watumishi wa wizara hiyo kutunza taswira ya wizara kwa kufanya kazi kwa uadilifu na kutekeleza kwa wakati miradi ya wizara.

Kundo ameyazungumza hayo alipokuwa akifunga Baraza la Wafanyakazi wa wizara hiyo jijini Dodoma Machi 26, 2022. Amewataka kuacha tabia ya kukwamisha miradi hiyo kwa maslahi binafsi.
                                   

Naibu Waziri Kundo akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa Barza hilo. Mdau nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Naibu Waziri Kundo akitoa maagizo hayo...IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
 MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM 
0754264203

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages