LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Mar 9, 2022

MBUNGE MWANYIKA AKIPATIA KILA KIJIJI SARUJI 50, KATA 150 NJOMBE MJINI+video

Mbunge wa Njombe Mjini, Deo Mwanyika  (aliyevaa kofia ya CCM), akikabidhi mifuko ya saruji kwa viongozi wa vijiji na kata za jimbo hilo katika hafla iliyofanyika hivi karibuni mjini Njombe. Jumla ya mifuko 2850 ya saruji imetolewa ambapo Mfuko wa Jimbo mifuko 2125 na mbunge mifuko 725. Kila kijiji kitapata mifuko 50 na Kata mifuko 150.



Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video Mbunge Deo Mwanyika akielezea kuhusu mgawanyo wa saruji hiyo...



 

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages