LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Jan 15, 2022

ALIYEPIGWA BAKORA NA NDUGAI, AOMBA KURITHI KITI CHA USPIKA+video

MTUMISHI wa Umma, Dkt Simon Ngatunga amerejesha fomu ya kuomba kugombea nafasi ya uspika katika Makao Makuu ya CCM jijini Dodoma Januari 15, 2022, ambapo ameomba chama kumpitisha kuwa mgombea arithi kiti cha uspika ambacho kiko wazi baada ya Job Ndugai kujiuzuru hivi karibuni.

 Baadhi ya marafiki wa Dkt Ngatunga waliomsindikiza wakati wa kurejesha fomu.


PICHA NA RICHARD MWAIKENDA


Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip ya video, Dkt Ngatunga akielezea nia yake ya kuiomba CCM ipitishe jina lake kuwania uspika.....

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA 
MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM
 0754264203

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages