LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Dec 23, 2021

WAZIRI MKUU MAJALIWA AHANI MSIBA NYUMBANI KWA RAIS MSTAAFU KIKWETE, LEO


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Rais Mstaafu Jakaya Kikwete alipokwenda nyumbani kwa Rais Mstaafu huyo jijini Dar es Salaam kutoa pole kwa familia kufuatia kifo cha  Mwanakombo Bakari Ngayama,  dada yake, Mama Salma Kikwete (kushoto), leo Disemba  23, 2021. Marehemu anatarajiwa kuzikwa kesho Disemba 24, 2021 Pongwe Tanga. Wa pili kushoto ni Mke wa Waziri Mkuu, Mama Mary Majaliwa. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages