Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akishuhudia makabidhiano ya Hati mara baada ya tukio la kusaini makubaliano kati ya Serikali na Kampuni za uchimbaji Madini za Black Rock Mining Limited, Strandline Resources Limited na Nyanzaga katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere Convention Centre Jijini Dar es Salaam leo tarehe 13 Desemba 2021. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza kwenye hafla ya utiaji Saini makubaliano kati ya Serikali na Kampuni 4 za Uchimbaji wa Madini za Black Rock Mining Limited, Strandline Resources Limited na Nyanzaga katika hafla iliyofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere Convention Centre Jijini Dar es Salaam leo tarehe 13 Desemba 2021 (Picha na Ikulu)
Your Ad Spot
Dec 13, 2021
Home
featured
Kitaifa
RAIS SAMIA ASHUHUDIA UWEKAJI SAINI MAKUBALIANO KATI YA SERIKALI NA KAMPUNI NNE ZA UCHIMBAJI MADINI NCHINI, JIJINI DAR ES SALAAM, LEO.
RAIS SAMIA ASHUHUDIA UWEKAJI SAINI MAKUBALIANO KATI YA SERIKALI NA KAMPUNI NNE ZA UCHIMBAJI MADINI NCHINI, JIJINI DAR ES SALAAM, LEO.
Tags
featured#
Kitaifa#
Share This
About CCM Blog
Kitaifa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
Tupia Comments👇