Waziri wa Nchi Ofisi ya Rias, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mohamed Mchengerwa akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari jijini Dodoma leo Novemba 2,2021, kuelezea mafanikio yaliyopatikana tangu Tanzania Bara ilipopata Uhuru Desemba 1961.
Wanahabari wakiwa katika mkutano na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rias, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mohamed MchengerwaPICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA
Mdau nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Waziri Mchengerwa akielezea mafanikio hayo....Imeandaliwa na Richard Mwaikenda
Mhariri Blog ya Taifa ya CCM
0754264203
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇