Waziri Gwajima ameeleya mafanikio hayo wakati wa mkutano na waandishi wa habari, jijini Dodoma Novemba 8, 2021 wa kuelezea Mafanikio, changamoto, na mwelekeo katika sekta ya afya kuanzia Tanzania Bara ilipopata Uhuru hadi sasa..
PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA
Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Waziri Gwajima akielezea mafanikio hayo, lakini pia usome taarifa iliyopo hapo chini.....
Imeandaliwa na Richard Mwaikenda
Mhariri Blog ya Tauifa ya CCM
0754264203
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇