LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Nov 12, 2021

RAIS SAMIA ATEMBELEA JENGO LA MAKUMBUSHO KATIKA MJI MPYA WA SERIKALI CAIRO, MISRI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, akipata maelezo kuhusu uhifadhi wa nyaraka mbalimbali alipotembelea  Jengo jipya la Makumbusho katika mji mpya wa Serikali Cairo nchini Misri jana jioni
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, akitia saini kitabu cha kumbukumbu alipotembelea  Jengo jipya la Makumbusho katika mji mpya wa Serikali Cairo nchini Misri jana jioni
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, akitembelea Jengo jipya la Makumbusho katika mji mpya wa Serikali Cairo nchini Misri jana jioni.

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages