Timu ya Mbeya (jezi ya kijivu) imeifunga timu ya Tanga katika mchezo mpira wa kikapu wanawake katika mashindano ya CRDB BANK Taifa Cup kwenye viwanja vya Chinangali Park jijini Dodoma Novemba 7, 2021.
PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDAMdau nakuomba uendelee kuona mtanange huo kati ya Mbeya na Tanga.....Richard Mwaikenda Mhariri Blog ya Taifa ya CCM 0754264203
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇