Makamu wa Rais wa JamhuriyaMuunganowa Tanzania Dk. Philip Mpango akizungumza na Balozi wa Heshima wa Tanzania nchini Singapore Teo Sieng Seng baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Changi Nchini Singapore, leo Novemba 15, 2021, kuhudhuria Mkutano wa Jukwaa la Majadiliano ya Kiuchumi (Bloomberg New Economy Forum 2021 ) unaoanza leo nchini humo. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais).
Nov 15, 2021
MAKAMU WA RAIS DK. MPANGO AWASILI SINGAPORE, LEO
Tags
featured#
Kitaifa#
Share This

About Bashir Nkoromo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇