LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Jun 9, 2021

RAIS SAMIA AONGOZA KUAGwA MWILI WA MZEE MZINDAKAYA KATIKA KANISA KATOLIKI LA ST. PETRO OYSTERBAY JIJINI DAR ES SALAAM, LEO

Rais Sa.ia Suluhu Hassan akitoa heshima zake kwa mwili wa aliyekuwa mwasiasa siku nyingi na Kada wa CCM, Mzee Chrisant Mzindakaya, wakati wa shughuli ya kuuaga mwili huo, leo katika Kanisa Katoliki la St. Peters, Oysterbay jijini Dar es Salaam.

Waombolezaji wakiwa katika shughuli hiyo ya kuuaga mwili wa marehemu Mzee Mzindakaya.

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages