LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Apr 25, 2021

RC MAHENGE AZINDUA KOZI YA KILIMO CHA KISASA CHUO CHA UFUNDI DONBOSCO DODOMA+video

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dk. Binilith Mahenge (kulia) akiwa ameshikana mikono na Balozi wa Israel nchini, Oded Joseph (kushoto) na  Ofisa Mtendaji Mkuu wa Asasi ya Water 4 Mercy, Nermine Khouzan alipokuwa anazindua Kozi ya Kilimo cha Kisasa katika Chuo cha Ufundi cha Donbosco Dodoma hivi karibuni. PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA
Balozi wa Israel Oded Joseph (kulia) akipanda mti wa mparachichi katika shamba  darasa la kilimo.
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dk. Mahenge akipanda mti wa parachichi katika shamba hilo
CEO wa Water 4 Mercy, Nermine akipanda mparachichi
Meneja Mradi kutoka Taasisi ya Cultiv Aid ya Israel, David Zuckerman akitoa maelezo kuhusu mfumo maalumu wa maji ya kumwagilia kwenye shamba hilo.
Bwawa la kuhifadhia maji ya kumwagilia mazao shambani.
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dkt. Mahenge na Balozi wa Israel, Joseph na viongozi wengine wakikagua shamba darasa hilo.
Wakiangalia pampu ya kusukuma maji  ya kumwagilia  kwa kiwango maalumu kwenye kwenye mashamba
Dkt. Binilith akitoka kukagua pampu
Dkt. Mahenge akikagua shamba
Zuckerman akielezea jinsi pampu inavyofanya kazi ya kuruhusu kiasi cha maji ya kumwagilia kwa njia ya matone  na sprinkler
Wanafunzi wakiwa kwenye matuta ya mazao yanayomwagiliwa kwa njia ya matone
Mwanafunzi akielezea jinsi wanavyomwagilia kwa kutumia matone na sprinkler.
Vitalu nyumba vilivyopo kwenye shamba hilo

Balozi Joseph akihutubia wakati wa hafla ya uzinduzi wa kozi ya kilimo katika chuo hicho.
Mkuu wa Chuo cha Ufundi Donbosco, Boniface Mchami akielezea  kozi mbalimbali zinazopatikana kwenye chuo hicho chenye wanafunzi zaidi ya 800.
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma akihutubia wakati wa hafla ya uzinduzi wa Kozi ya Kilimo chuoni hapo.
Balozi Joseph akiagana na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dkt. Mahenge.


Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza clip hii ya video, Mkuu wa Chuo cha Ufundi Donbosco, Mchami akielezea  pamoja na mambo mengine jinsi kozi hiyo ya kilimo itakavyokuwa inawafufaisha wanafunzi na jamii kwa ujumla...
 

Imeandaliwa na Richard Mwaikenda
 Mhariri Blog ya Taifa ya CCM
 0754264203

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages