LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Apr 26, 2021

NAIBU WAZIRI MARYPRISCA AKAGUA MIRADI YA MAJI NYASA


 

Baadhi ya wanawake wa kijiji cha Likwilo kata ya Kilosa wilayani Nyasa wakimuonesha ndoo tupu za maji Naibu waziri wa maji Mhandisi MaryPrisca Mahundi aliyevaa koti jeupe kama ishara ya uhaba wa huduma ya maji safi na salama katika kijiji hicho,wakati wa ziara yake ya siku mbili wilayani humo kukagua utekelezaji wa miradi ya maji,kushoto kwa naibu Waziri ni Mkuu wa wilaya ya Nyasa Esabela Chilumba.

Picha na Muhidin Amri

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages