LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Apr 1, 2021

DK BASHIRU, MULAMULA NA MBAROUK WAAPISHWA BUNGENI DODOMA

 

Aliyekuwa Katibu Mkuu Kiongozi, Dk. Bashiru Ally Kakurwa akila kiapo cha utiifu cha Ubunge mbele ya Spika wa Bunge, Job Ndugai  Bungeni Dodoma, baada ya kuteuliwa na Rais Samia Suluhu Hassan. Picha zote na Richard Mwaikenda
Balozi Liberata Mulamula akila kiapo cha utiifu cha ubunge mbele ya Spika wa Bunge, Job Ndugai  bungeni Dodoma, baada ya kuteuliwa na Rais Samia Suluhu Hassan.

Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk akila kiapo cha utiifu cha ubunge mbele ya Spika wa Bunge, Job Ndugai  bungeni Dodoma,baada ya kuteuliwa na Rais Samia Suluhu Hassan.


No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages