LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Dec 23, 2020

TAZIZO LA BANDO KUISHA KABLA YA MUDA SASA MWISHO-WAZIRI NDUGULILE

 

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dk Faustine Ndugulile amelielekeza Baraza la Ushauri la Watumiaji wa Huduma za Mawasiliano (TCRA- CCC) kufanya tathmini ya malalamiko yanayotolewa na wananchi dhidi ya kampuni za simu kuhusu kukatwa na kuibiwa vifurushi ili kupata ufumbuzi wa tatizo hilo.

“Wananchi wanamalalamika kuhusiana na mabando yao kuisha kwa wakati, wanalalamika kubadilishiwa gharama za matumizi ya mabando yao, wanalalamika kupunjwa mabando yao, wanalalamika kuhusu fedha wanazotuma yote yanahitaji majibu”

“Yote yanahitaji kupatiwa matibabu kwahiyo nimewaelekeza Baraza husika kuhakikisha kwamba hatufanyi kazi kwa mazoea”-Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dr.Faustine Ndugulile

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages