LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Dec 23, 2020

MAHAFALI YA KIDATO CHA NNE SHULE YA FEZA YAFANA DAR

Wanafunzi wa shule ya sekondari ya wasichana Feza, wakiwa wanaimba wimbo wa kuwaaga wenzao kwenye mahafali ya shule hiyo ambayo yamefanyika ukumbi wa Mwalim Nyerere  juzi. 

Wanafunzi wa kidato cha nne Feza boys hiliyopo Tegeta,  wakiwa wanacheza mbele ya wazazi wao wakati wakisherekea mahafali ya kidato cha nne. Sherehe hiyo imefanyika  katika ukumbi wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam. 


 Wanafunzi bora kwenye Masomo kidato cha Nne  Shule ya Wavulana na Wasichana Feza, ambao wamefanya vizuri katika mithiani yao  ya Mock kanda ya Dar es salaam. wakiweka kumbukumbu ya Majina yao kwenye vitaru maharum vya Shule,kushoto Lissa William  na kulia ni Isaya Chales wakati wakisherekea kuhitim Elim ya sekondari..mahafali hayo yamefanyika katika ukumbi wa Mwalim Nyerere.  PICHA NA ASHRACK MIRAJI.






No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages