LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Nov 22, 2020

MBEYA CITY YATWAA UBINGWA MASHINDANO YA KIKAPU YA TAIFA CUP


Wachezaji wa timu ya Mpira wa kikapu ya Mkoa wa Mbeya, Mbeya City, wakishangilia baada ya kuabidhiwa Kombe la ubingwa wa mashindano ya Taifa ya mpira huo kwenye viwanja vya Burudani vya Chinangali, jijini Dodoma. Waliifunga Temeke vikapu 55-68 katika fainali hiyo. Pia timu hiyo ilizawadiwa sh. mil. 2 ambapo pia Naibu Spika wa Bunge, Tulia Ackson ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini aliahidi kuwazawdia sh. mil. 5. PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA








 


Timu ya Temeke ikiwa katika picha ya pamoj na viongozi mbalimbali baada ya kukabidhiwa kombe na hundi kwa kushika nafasi ya pili katika mashindano hayo yaliyodhaminiwa na Benki ya CRDB

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages