LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Nov 16, 2020

MAJALIWA AAPISHWA RASMI KUWA WAZIRI MKUU AWAMU YA PILI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Mheshimiwa Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb) kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika hafla fupi iliyofanyika katika viwanja vya Ikulu ya Chamwino mkoani Dodoma leo tarehe 16 Novemba, 2020. PICHA YA IKULU

 


 Rais Dk. John Magufuli akimpongeza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa baada ya kumuapisha Ikulu ya Chamwino, Dodoma. PICHA NA RICHARD MWAIKENDA

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages