LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Nov 15, 2020

HAFLA YA KUWAPONGEZA WAHESHIMIWA WABUNGE JIJINI DODOMA

Naibu Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson akizungumza katika hafla ya kuwapongeza Waheshimiwa Wabunge iliyoandaliwa na Benki ya NMB Jijini Dodoma.
Naibu Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson akizungumza katika hafla ya kuwapongeza Waheshimiwa Wabunge iliyoandaliwa na Benki ya NMB Jijini Dodoma.

Naibu Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson (katikati) akimsikiliza Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya NMB, Dkt. Edwin Mhede (kushoto) wakati wa hafla ya kuwapongeza Waheshimiwa Wabunge iliyoandaliwa na Benki hiyo Jijini Dodoma. Kulia ni Mtendaji Mkuu wa Benki hiyo, Ruth  Zaipuna.
 

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages