LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Nov 20, 2020

DK. MWINYI KUAPISHA MAWAZIRI WAKE KESHO NOVEMBA 21, 2020


Mawaziri hao na Wizara mbili ambazo Rais ameziacha kiporo kuteua maziri wake ni kama ifuatavyo;👇

 1. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Uchumi na Uwekezaji - Mudrik Ramadhan Soraga.

2. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) - Masoud Ali Mohammed.

3. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Katiba na Utawala Bora - Haroun Ali Suleiman.

4. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Fedha na Mipango - Jamal Kassim Ali.

5. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais, Sera, Uratibu na Baraza la Wawakilishi -  Dk. Khalid Mohammed Salum. 

6. Wizara ya Kilimo, Umwagiliaji na Mifugo - Soud Nahoda Hassan. 

7. Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali - Simai Mohammed Said

8. Wizara ya Habari, Vijana na Utamaduni -  Tabia Mwita Maulid.

9. Wizara ya Biashara ya Maendeleo ya Viwanda. Bado hajateua Waziri. 

10. Wizara ya Ardhi na Maendeleo ya Makaazi -  Riziki Pembe Juma.

11. Wizara ya Maji na Nishati -  Suleiman Masoud Makame.

12. Wizara ya Afya, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Watoto. Bado hajateua Waziri.

13. Wizara ya Utalii na Mambo ya Kale - Lela Mohammed Mussa.

14. Wizara ya Uchumi wa Bluu na Uvuvi - Abdallah Hussein Kombo. 

15. Wizara ya Ujenzi - Rahma Kassim Ali.

 Mawaziri Wote wataapishwa Jumamosi Novemba 21 Saa 5 asubuhi.

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages