LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Oct 10, 2020

Video & Picha: NSUBI AAHIDI KUSHIRIKIANA NA MAVUNDE KUZITAFUTIA UFUMBUZI CHANGAMOTO ZA KATA YA MSALATO DODOMA

Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Dodoma Mjini, Meja Mstaafu Risasi (katikati) akiwanadi kwa wananchi Mgombea Ubunge Jimbo la Dodoma Mjini kupitia CCM, Anthony Mavunde na Mgombea Udiwani Kata ya Msalato kupitia chama hicho, Nsubi Bukuku wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika eneo la Mnadani, Msalato, Dodoma.
Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Dodoma Mjini, Meja Mstaafu Risasi akimkabidhi Mgombea Udiwani wa Kata ya Msalato, Nsubi Bukuku kitabu cha Ilani ya CCM ya Uchaguzi 2020-2025.

Aliyekuwa Diwani wa Kata ya Msalato, Ali Mudende akiahidi mbele ya wananchi kuwa atasaidiana na Diwani Mtarajiwa, Nsubi Bukuku kuwaletea maendeleo wananchi wa kata hiyo.

Sehemu ya umati wa wananchi waliohudhuria mkutano huo wa kampeni.



Mama mzazi wa Anthony Mavunde akisikilisa kwa makini wakati mwanaye akijinadi kwa wananchi katika mkutano huo wa kampeni.

 Mwenyekiti wa CCM Kata ya Msalato, Lucia akipiga magoti kwa unyenyekevu kuwaombea kura wagombea wa CCM ambao ni Mgombea Urais, Dk. John Magufuli,  Mgombea Ubunge Jimbo la Dodoma Mjini, Anthony Mavunde na Mgombea Udiwani wa Kata ya Msalato,  Nsubi Bukuku.

Kwa Uhondo zaidi sikiliza kwenye Video hapo chini.


 

Imeandalia na: 
 Richard Mwaikenda 
 Mhariri Blog ya Taifa ya CCM 
 0754264203

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages