LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Oct 27, 2020

DK MAGUFULI AFUNGA KIAINA KAMPENI ZA CCM KWA KUZUNGUMZA NA WAZEE WA DODOMA

Mgombea Urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk. John Magufuli akiwa na viongozi wengine meza kuu wakiimba wimbo wa kampeni uliokuwa ukitumbuizwa na Kikundi cha TOT baada ya kuzungumza na wazee wa Mkoa wa Dodoma kwa niaba ya watanzania wote alipokuwa akihitimisha kampeni za CCM kwenye Ukumbi wa Jakaya Kikwete jijini Dodoma jioni hii. PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA

Katibu Itikadi na Uenezi wa CCM, akionoza mkutano huo baada ya Dk Magufuli kuwasili ukumbini tayari kuzungumza na wazee wa mkoa wa Dodoma.
Katibu Mkuu wa CCM, Dk. Ali Bashiru akitaja baadhi ya miongozo ya kampeni waliyoifanyia kazi wakati wa kampeni.
Dk. Magufuli akizungumza na wazee wa mkoa wa Dodoma kwa niaba ya watanzania alipokuwa akihitimisha kampeni za CCM.


Viongozi wa dini wakiomba sala na dua kuuombea Uchaguzi Mkuu ufanyike kwa amani na utulivu na kupata kiongozi bora.



Makamu Mwenyekiti Mstaafu wa CCM, John Malecela akimpigia debe DK . magufuli na wagombea wengine wa CCM.

Baadhi ya wazee wa Dodoma wakifurahi na kunyoosha mikono kukubali kumpigia kura Mgombea uRAIS WA ccm, Dk. Magufuli , wabunge na madiwani wa CCM.










TOT wakitumbuiza wakati wa mkutano huo
Spika wa Bunge, Job Ndugai ambaye ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, akiongea neno  la kuhitimisha kampeni na kuwaomba wana Dodoma na watanzania kesho kumpigia Dk Magufuli, wabunge na madiwani wa CCM.

 

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages