LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Sep 1, 2020

MGOMBEA URAIS WA CCM KWA AWAMU YA PILI, RAIS DK. MAGUFULI AOMBA KURA WANANCHI WA BAHI, LEO

Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM, Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Rais Dk. John Pombe Magufuli akipokewa na mamia ya wananchi wakati akiwasili  wilayani Bahi mkoa wa Dodoma kwa mkutano wa kampeni wa hadhara leo Jumanne Septemba 1, 2020, ikiwa ni kituo chake cha kwanza toka azindue rasmi kampeni zake za kugombea Urais


 

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages