Mgeni rasmi, Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Ulemavu), Stella Ikupa akimkabidhi cheti Meneja wa Kanda ya Kati Mamlaka ya Usimamizi wa Bima (TIRA), Stella Rutaguza katika Maonesho ya Wakulima Nanenane Kanda ya Kati Dodoma. Kulia kwake ni Afisa Bima Mwandamizi wa TIRA. Adam Maneno. Tira imepaata ushindi wa pili wa Mamlaka za Huduma na Udhibiti. |
Aug 9, 2020
WASHINDI WATUNUKIWA TUZO MAONESHO YA NANENANE YA KANDA YA KATI DODOMA
Tags
Biashara#
Feutured#
Share This

About Richard Mwaikenda
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇