Aug 20, 2020

VIDEO: MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE WALIOTEULIWA KUPEPERUSHA BENDERA YA CCM HAYA HAPA

Kumradhi linaanza tangazo yanafuata majina ya wagombea hao

 Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Humphrey Polepole akitangaza majina ya walioteuliwa na CCM kugombea ubunge katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 28, mwaka huu. Majina hayo yametangazwa leo mchana katika Makao Makuu ya CCM, jijini Dodoma. PICHA NA RICHARD MWAIKENDA

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Pages