LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Aug 6, 2020

MWENYEKITI WA CCM RAIS DK. MAGUFULI AONGEA NA WANACHAMA WA CCM MJINI DODOMA BAADA KUTOKA KUCHUKUA FOMU ZA UTEUZI WA KUGOMBEA URAIS, LEO


Msafara wa Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi na Rais wa Jamhuriya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli  baada ya kutoka kuchukua fomu hizo za kugombea Urais kutoka Tume ya Taifa ya Uchaguzi jijini Dodoma leo
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na Makamu wa Rais na Mgombea Mwenza katika Uchaguzi Mkuu Mhe Samia Suluhu Hassan wakionesha fomu za
udhamini kwa wanachama wa CCM wa Dodoma baada ya kutoka kuchukua fomu hizo za kugombea Urais kutoka Tume ya Taifa ya Uchaguzi jijini Dodoma 
leo.

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na Makamu wa Rais na Mgombea Mwenza katika Uchaguzi Mkuu Mhe Samia Suluhu Hassan wakiomba udhamini baada ya kuchukua fomu hizo za kugombea Urais kutoka Tume ya Taifa ya Uchaguzi jijini Dodoma leo.

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akionesha Ilani ya Uchaguzi wakati akikongea na  wanachama wa CCM wa Dodoma baada ya kutoka kuchukua fomu hizo za kugombea Urais kutoka Tume ya Taifa ya Uchaguzi jijini Dodoma leo
 Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi na Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akikongea na  wanachama wa CCM wa Dodoma baada ya kutoka kuchukua fomu hizo za kugombea Urais kutoka Tume ya Taifa ya Uchaguzi jijini Dodoma leo

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages