Mkuu wa shule ya Sekondari ya Kawe Ukwamani, Wilayani Kinondoni, Dar es Salaam Safina Egha, akikagua wanafunzi waliokuwa katika hatua za awali za kutengeneza batiki, jana, kwa ajili ya maonyesho ya kuonyesha ustadi katika fani mbalimbali, wakati wa Maadhimisho ya siku ya kuanzishwa rasmi shule hiyo miaka 16 hadi sasa 'Kawe Day' yatakayofanyika kesho.
Mkufunzi wa utengenezaji batiki akiandaa randi za kutengenezea bidhaa hiyo
Wanafunzi wakianika batiki baada ya kuzinakshi kwa rangi
Wanafunzi wakianika batiki baada ya kuzinakshi kwa rangi
Wanafunzi wakiwa katika mafunzo ya Sayansi na Mwalimu wao
Utaalam wa kutengeneza gari inayotumia Solar badala ya mafuta
Ujenzi nyumba ya ghorofa
No comments:
Post a Comment
ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇