LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Jul 23, 2020

MKUU WA MKOA ARIPOTI NJOMBE

 Mkuu mpya wa mkoa wa Njombe Marwa Mwita Rubirya aliyeteuliwa na Rais Dkt. John Magufuli kuchukua nafasi ya aliyekuwa mkuu wa mkoa huo Christopher Ole Sendeka ameripoti katika ofisi za mkuu wa mkoa wa Njombe na kutoa rai kwa viongozi wenzake kutoa ushirikiano kwa ajili ya kusukuma maendeleo ya mkoa huo.


Akipokelewa katika ofisi za mkoa na Katibu Tawala wa Mkoa wa Njombe, Katarina Revocati pamoja na Mkuu wa Wilaya ya Njombe, Ruth Msafiri na watumishi wa ofisi ya mkoa, Mheshimiwa Rubirya amesema amewasili mkoani Njombe kwa dhamira moja ya kuwatumikiwa wananchi na kusisitiza ushirikiano kwa viongozi.

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages