Mjasiliamali kutoka Mtwara na Mkurugenzi wa Matango Cashewnut, Tatu Matango (kushoto) akiwaonesha Korosho kutoka Mtwara wateja mara walipotembelea Banda la Chama Cha Wafanya Biashara Wanawake Tanzania (TWCC) katika Maonesho ya 44 ya Kimataifa viwanja vya Sabasaba Barabara ya Kilwa Julai 7, 2020 Dar es Salaam. (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA).
Mjasiliamali kutoka Mtwara na Mkurugenzi wa Matango Cashewnut, Tatu Matango (kushoto) akimpatia mteja wake korosho aonje aliyefika Banda la Chama Cha Wafanya Biashara Wanawake Tanzania (TWCC) katika Maonesho ya 44 ya Kimataifa viwanja vya Sabasaba Barabara ya Kilwa Julai 7, 2020 Dar es Salaam.. .
Mjasiliamali kutoka Mtwara na Mkurugenzi wa Matango Cashewnut, Tatu Matango (kushoto) akijaribu kupanga biasha yake ya Korosho ambapo anauza Jumla na rejareja Ofisi ipo Chikongola Mtwara.
Jul 7, 2020
Home
Biashara
featured
WATEJA WAMIMINIKA KUJIPATIA KOROSHO BORA NA YENYE UBORA WA PEKEE KUTOKA MTWARA
WATEJA WAMIMINIKA KUJIPATIA KOROSHO BORA NA YENYE UBORA WA PEKEE KUTOKA MTWARA
Tags
Biashara#
featured#
Share This
About khamisimussa77@gmail.com
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇