Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na baadhi ya Viongozi wa Ofisi ya Ubalozi wa Tanzania alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa Kamuzu Nchini Malawi kwa ajili ya kumuwaklilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kwenye sherehe ya kuapishwa Rais Mpya wa Malawi Mhe. Lazarus Chakwera leo Julai 06,2020.
Jul 6, 2020
MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA AMUWAKILISHA RAIS DKT. MAGUFULI MALAWI
Tags
featured#
Kitaifa#
Share This
About khamisimussa77@gmail.com
INEC YAZINDUA RATIBA YA UCHAGUZI MKUU 2025, IDADI YA WAPIGA KURA YAPAA KWA ASILIMIA 26.55 , POLISI WAKABIDHIWA MAJINA YA WALIOJIANDIKISHA MARA MBILI
RAIS NA AMIRI JESHI MKUU WA MAJESHI YA ULINZI WA TANZANIA DK. SAMIA AONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA MASHUJAA, LEO
MABLOGA WASHUKURU UAMUZI WA SERIKALI KUWAPIGA MSASA KUIMARISHA WELEDI WAO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇