LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

May 15, 2020

TETESI ZA SOKA ULAYA IJUMAA 15.05.2020

David Silva mwenye umri wa miaka 34, kwa Manchester City unakamilika Juni 30 l

Mkataba wa David Silva mwenye umri wa miaka 34, kwa Manchester City unakamilika Juni 30 lakini Mhispania huyo anayecheza safu ya kati,yuko tayari kuongeza mkataba huo hadi mwisho wa msimu, kabla ya kufunganya virago. (Times - subscription required)
Manchester United wamekuwa wakimsaka Schalke na Rabbi Matondo na huenda wakamnunua mchezaji huyo wa miaka 19, wakishindwa kumsainisha mshambuliaji wa Borussia Dortmund na England, Jadon Sancho, 20. (Manchester Evening News)
Mchezaji Dries Mertens anayenyatiwa na Chelsea anampango wa kuhamia ligi ya Italia ya Serie A mkataba wake na Napoli utakapokamiliaka, Inter Milan pia inamtaka kiungo huyo mshambulizi wa Ubelgiji mwenye umri wa miaka 33. (Mail)
Mshambuliaji wa Bayern Munich na Poland Robert LewandowskHaki miliki ya pichaGETTY IMAGES
Image captionMshambuliaji wa Bayern Munich na Poland Robert Lewandowsk
Mshambuliaji wa Bayern Munich na Poland Robert Lewandowski, 31, has amaemshauri mshambuliaji wa Norway Erling Braut Haaland,19 - ambaye anang'ang'aniwa na Manchester United na Real Madrid - kuendelea na ukuzaji wa talanta yake Borussia Dortmund. (Metro)
Wakala wa kiungo wa kati wa Brazil Philippe Coutinho,27, amesema hajafanya mazungumzo na klabu yoyote kumhusu mchezaji huyo wa Barcelona, ambaye yupo kwa mkopo Bayern Munich. (Talksport)
Che
Mshambuliaji wa Southampton Muingereza Che Adams anakaribia kuuzwa kwa £10m Ama chini ya hapo- licha ya Leeds United kukubali ada ya £19m kumnunua kiungo huyo wa miaka 23, mwezi Januari kabla ya kubadilia nia yao. (Football Insider)

Tetesi za Soka Ulaya Alhamisi 14.05.2020

bHaki miliki ya pichaGETTY IMAGES
Bayern Munich wanatafakari kuwasilisha ofa ya zaidi ya £50m kumsajili winga wa Manchester City Leroy Sane. (Telegraph)
Manchester United wanataka kiungo wa kati wa miaka 16 Jude Bellingham kucheza katika kikosi cha kwanza wakifanikiwa kumsajili kutoka Birmingham City msimu huu. (Evening Standard)
Manchester United imemnunua mshambuliaji wa Ufaransa na Lyon Moussa Dembele,23, ambaye pia analengwa na Chelsea, kwa £61.8m. (Todofichajes, via Express)
Barcelona wameweka dau la £53m dhidi ya mshambuliaji wa Ufaransa wa miaka 22- Ousmane Dembele, ambaye walimsajili kwa mkataba wa £135.5m. (Marca, via Star)
Barcelona wameweka dau la £53m dhidi ya mshambuliaji wa Ufaransa wa miaka 22- Ousmane Dembele,Haki miliki ya pichaGETTY IMAGES
Image captionBarcelona wameweka dau la £53m dhidi ya mshambuliaji wa Ufaransa wa miaka 22- Ousmane Dembele
Vilevile Barcelona imefanya mazungumzo na Juventus kuhusu usajili wa beki wa Italia Mattia de Sciglio, 27, kutoka upande wa Serie A baada ya mazungumzo ya mkataba na beak wa Portugal Nelson Semedo, 26, kugonga mwamba. (Marca)
Tottenham imetangaza mango wa kumuuza beki wake Juan Foyth na Barcelona wameonesha Ina ya kutaka kumnunua kiungo huyo wa miaka 22-kutoka Argentina. (Mirror)
chelseaHaki miliki ya pichaGETTY IMAGES
Chelsea wako tayari kumuuza kiungo wa kati Mfaransa Tiemoue Bakayoko, 25, kwa £31m lakini Paris St-Germain hawataki kutumia zaidi ya £26.5m kumsajili. (Le10 Sport, via Star)
Kiungo wa kati wa Bayer Leverkusen Kai Havertz, 20, amehusishwa na totes za kujiunga na Chelsea, Liverpool na Manchester United lakini mchezaji wa zamani wa kimataifa wa Ujerumani Michael Ballack ameshauri asiondoke Katina klabu yake ya sasa. (Football London)
kipa wa Everton Mholanzi Maarten Stekelenburg,Haki miliki ya pichaGETTY IMAGES
Image captionKipa wa Everton Mholanzi Maarten Stekelenburg
Everton wanajiandaa kumuachia kipa wao Mholanzi Maarten Stekelenburg, 37, kuondoka katana wake ukimalizika mwisho wa msimu huu ili kumtafuta kipa mwengine.

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages