LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

May 19, 2020

TAASISI YA ANDALUSIA NA HANDS HAPPY ZAKABIDHI MSAADA WA VIFAA VYA KINGA DHIDI YA CORONA KWA WILAYA YA ILALA


Kiongozi wa Taasisi ya Mafunzo ya Andalusia pamoja na Happy Hands, Zainab Bunamy (kushoto)  akikabidhi msaada wa  vifaa mbalimbali vya kinga dhidi ya Corona kwa Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Sophia Mjema wenye thamani ya sh. mil. 7, vikiwemo vifaa vya mavazi ya kujikinga wakati wa kuwahudumia wagonjwa wa  ugonjwa huo.
                              
 
Kiongozi wa Taasisi ya Mafunzo ya Andalusia pamoja na Happy Hands, Zainab Bunamy (kushoto)  akikabidhi msaada wa  vifaa vya kinga dhidi ya Corona kwa Mkuu wa Wilaya ya Ilala Sophia Mjema.
 Mwenyekiti wa Mafunzo Kitengo cha Wanawake, Khadija Ali Alwi akizungumza jambo mara baada ya kukabidhi msaada huo.








 Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Sophia Mjema (kulia) akimsaidia kumvisha vazi ya kujikinga wakati wa kuwahudumia wagonjwa wa CORONA, Mratibu wa Jinsia Ofisi ya Mganga Mkuu wa Manispaa Rehema Mzungu. kushoto ni  Kiongozi wa Taasisi hiyo na Group la Happy Hands, Zainab Bunamy 
 Mkuu wa Wilaya  ya Ilala, Sophia Mjema akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi wa Taasisi ya Mafunzo pamoja na Group la Happy Hands leo Mei 19, 2020.









No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages