LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Mar 8, 2020

TUGHE WANAWAKE MKOA WA DAR ES SALAAM WAVUNJA RIKODI

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda akipungia mkono maandamano katika viwanja vya Lidas Clup wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani leo Machi 8, 2020 ambapo Kitaifa yamefanyika Mkoani Simiyu mgeni rasmi ni Makamu wa Rais wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan. (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA).
Mwenyekiti TUGHE Taifa, Archie Mntambo akizungumza jambo wakati wa hafla fupi ya kuwapongeza wastaafu wa Chama hicho mara baada ya kumalizika Maadamano ya Sherehe Siku ya Wanawake Duniani leo Machi 8, 2020, viwanja vya Lidas Clup ambapo kilele cha Maadhimisho hayo Kitaifa yamefanyika Mkoa wa Simiyu na mgeni rasmi ni Makamu wa Rais wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan.
Katibu TUGHE Mkoa wa Morogoro Sara Rwezaula akizungumza jamboa katika Ukumbi wa Cardinal Rugambwa Jijini Dar es Salaam wakati wa hafla fupi ya kuwapongeza wastaafu wa Chama hicho mara baada ya kumalizika Maadamano ya Sherehe Siku ya Wanawake Duniani leo Machi 8, 2020, viwanja vya Lidas Clup ambapo kilele cha Maadhimisho hayo Kitaifa yamefanyika Mkoa wa Simiyu na mgeni rasmi ni Makamu wa Rais wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan


Wafanyakazi TUGHE Mkoa wa Dar es Salaam Tawi la Hospitali ya Rufaa Mkoa Amana wakiwa katika picha ya pamoja viwanja vya Lidas Clup wakipita mbele ya mgeni rasmi Paul Makonda
Wafanyakazi TUGHE Mkoa wa Dar es Salaam Tawi la Taasisi ya Mifupa MOI wakiwa katika picha wakipita mbele ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda ambaye ni  mgeni rasmi katika viwanja vya Lidas Clup 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda akisalimia akinamama  
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda (kulia) akifurahia jambo mara baada ya kuona Chama cha Madaktari wa macho wanawakeTanzania wakimpatia huduma bila malipo mmoja wa akina mama alipotembelea banda hilo wakati wa Siku ya Wanawake Mkoa wa Dar es Salaam ambapo Kitaifa yamefanyika Mkoa wa Simiyu na Mgeni Rasmi ni Makamu wa Rais wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan. 






wafanyakazi Wanawake TUGHE Mkoa wa Dar es Salaam Tawi la Hospitali ya Rufaa Amana wakimsikiliza Mwenyekiti TUGHE Taifa, Archie Mntambo alipokuwa akizungumza katika Ukumbi wa Cardinal Rugambwa Jijini Dar es Salaam














  Mwenyekiti TUGHE Taifa, Archie Mntambo akimkabidhi zawadi mbalimbli pamoja na cheti Mwenyekiti wa Kamati ya Wanawake TUGHE kutoka Tawi la Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba Tanzania (TMDA), Rosemary Aaron wakati wa Siku ya Wanawake Mkoa wa Dar es Salaam ambapo Kitaifa yamefanyika Mkoa wa Simiyu na Mgeni Rasmi ni Makamu wa Rais wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan. 
Katibu Mkuu wa TUGHE Taifa na Kaimu Naibu Katibu Mkuu TUCTA Henry Mkundi akipongezwa na akinamama Mkoa wa Dar es Salaam wakati wa Sherehe fupi ya Siku ya Wanawake Mkoa wa Dar es Salaam iliyofanyika katika Ukumbi wa Cardinal Rugambwa Jijini Dar es Salaam


  Picha ya pamoja na Mwenyekiti TUGHE Taifa, Archie Mntambo wakati wa Siku ya Wanawake Mkoa wa Dar es Salaam ambapo Kitaifa yamefanyika Mkoa wa Simiyu na Mgeni Rasmi ni Makamu wa Rais wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan. 















No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages